1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hatua za benki kuu ya Ulaya ECB za kuudhibiti mfumuko wa bei

Zainab Aziz31 Agosti 2022

Kwa mara ya kwanza baada ya muda wa zaidi ya miaka 20, pengo limekuwa kubwa kati ya mishahara na kiwango cha mfumuko wa bei katika nchi za Ulaya. Hata hivyo, benki kuu ya Ulaya ECB bado inasuasua kuchukua hatua za kuudhibiti mfumuko wa bei katika nchi zinazotumia sarafu ya Euro. Makala ya Mwangaza ya Ulaya inaangazia wasiwasi kutokana na gharama za maisha kupanda sana.

https://p.dw.com/p/4GGFw