1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Havana. Castro hakuhudhuria kikao cha mwishoni mwa mwaka.

23 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCgr

Kiongozi wa Cuba Fidel Castro ambaye anaugua amekosa kuonekana katika kikao cha mwisho cha mwaka cha bunge la nchi hiyo, ikiwa ni ishara kuwa utawala wake wa karibu nusu karne unakaribia kwisha.

Kiti ambacho kwa kawaida hukaliwa na kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 80 katika kituo cha mikutano mjini Havana kilikuwa tupu katika mkutano huo, ambao uliongozwa na mdogo wake wa kiume Raul Castro na wajumbe wengine wa uongozi wa chama cha kikomunist katika kisiwa hicho.

Castro hajaonekana hadharani tangu mwezi Julai mwaka