Mwanamwema na Fadhili waliyaishi maisha yao kwa ihsani na kuenziana hadi siku Kijakazi Sidi alipogonga mlango wa nyumba yao wakamfungulia naye akayaharibu yote waliyoyaengaenga kwa miaka na kaka, maana alikuja na yake yaliyozidharau fadhila za Fadhili na kuusahau wema wa Mwanamwema.