1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hezbollah

Hezbollah, ambacho tafisri yake ni "chama cha Allah" ni chama cha siasa kinachofuata nadharia za Kishia chenye makao yanke nchini Lebanon. Kiliibuka baada ya Israel kuivamia Lebanon mwaka 1982, na kinafungamana na Iran.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi