1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Idadi ya wanaokufa wakijifungua yaongezeka

5 Mei 2017

Hizo ni takwimu katika nchi za Afrika zilizoko kusini mwa Jangwa la Sahara. Kauli mbiu ya mwaka huu ya Siku ya Kimataifa ya Wakunga ni, "Wakunga, mama na familia washirika wa maisha."

https://p.dw.com/p/2cR9D
Mkunga akimhudumia mama mjamzito
Picha: picture-alliance/dpa

MMT J2.05.05.2017-Internationaler Tag der Hebamme - MP3-Stereo

DW imezungumza na meneja mawasiliano wa shirika la kimataifa linalohusika na wakunga na kuratibu vyama vya wakunga duniani ICM, Bi Sawiche Wamunza, anayeanza kueleza hali ilivyo duniani kote juu ya hali ya mkunga.