1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Iran haina azma ya silaha za atomiki

9 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBRF

TEHERAN:

Kiongozi mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei,alisisitiza leo kwamba nchi yake haina nia ya kuunda silaha za kinuklia .

Iran ambayo daima ikitetea haki yake kuendeleza mradi wake wa kinuklia pia inakanusha mashtaka ya Marekani na ya nchi nyengine kuwa ina azma ya kuunda silaha za