1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ISLAMABAD: Pakistan imejaribu kombora jipya

25 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBW0

Pakistan imefanikiwa kufanya jeribio la kombora jipya la kupiga doria angani,ambalo huweza kupachikwa silaha za nyuklia.Kombora Ra’ad lililojengwa nchini Pakistan,linaweza kurushwa na ndege kutoka angani na kwenda umbali wa kilomita 350.

Rais Pervez Musharraf na Waziri Mkuu Shaukat Aziz wamewapongeza wanasayansi na wahandisi waliofanya kazi pamoja kuunda kombora hilo jipya.