1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ISLAMABAD:Bhutto atolewa vitisho vingine

24 Oktoba 2007
https://p.dw.com/p/C7DB

Kiongozi wa upinzani nchini Pakistan bibi Benazir Bhutto ametolewa vitisho vingine juu ya kumwuua, siku chache tu baada ya kufanyika jaribio la kumwuua ambapo watu karibu 140 waliangamia.

Bibi Bhuto amesema atasonga mbele na kampeni yake ya uchaguzi licha ya vitisho hivyo.Walakini mwanasiasa huyo ataepuka mikutano ya hadhara.

Uchaguzi wa bunge umepangwa kufanyika mwezi januari nchini Pakistan.