JAKARTA: Boti yazama pwani ya Indonesia20.10.200720 Oktoba 2007https://p.dw.com/p/C7EOMatangazoNchini Indonesia,boti iliyojaa watu imezama baharini nje ya pwani ya kisiwa cha Sulawesi.Hadi watu 29 wamepoteza maisha yao na wengi bado wanakosekana.Ripoti zinazogongana zinasema boti hiyo ilikuwa na kati ya watu 80 hadi 150.