1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo yailaumu Rwanda kwa jeshi lake kuunga mkono wapiganaji wa CNDP wa Laurent Nkunda

9 Oktoba 2008

Jeshi la DRC linahakikisha uungwaji mkono wa wanajeshi wa Rwanda kwa wapiganaji wa CNDP wa Laurent Nkunda.

https://p.dw.com/p/FWwJ

Kwa upande wake serikali ya Kongo imeomba Baraza la Usalama la umoja wa mataifa liitahadharishe Rwanda kutokana na uvamizi wa ardhi yake na wanajeshi wa nchi hiyo.MONUC imetoa mwito wa usitishwaji mapigano kwenye mtaa wa Rutshuru.

Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.