1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Japan: Yukio Hatoyama achaguliwa waziri mkuu mpya

16 Septemba 2009

<p>Nchini Japan, Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo, Yukio Hatoyama, leo ametangaza baraza lake jipya la mawaziri, ikiwa ni saa chache tu baada ya bunge kumthibitisha kuwa Waziri Mkuu mpya wa Japan.</p>

https://p.dw.com/p/JiB0
Waziri Mkuu mpya wa Japan Yukio HatoyamaPicha: AP

Bwana Hatoyama na chama chake cha DJP, katika uchaguzi mkuu wa mwezi uliyopita, alifanikiwa kukiondoa  chama cha LDP kilichotawala Japan kwa miongo kadhaa.

Na ili kufahamu zaidi niliwasiliana na mwandishi wa habari anayeishi jijini Tokyo, Ali Attas, kwanza nikitaka kufahamu watu wamelipokeaji baraza hilo jipya la mawaziri la bwana Hatoyama.