1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, kasi ya mawaziri wa Magufuli ni ya uoga?

Admin.WagnerD28 Desemba 2015

Takribani siku 20 tangu kuapishwa kwa mawaziri wa serikali mpya nchini Tanzania, tumeshuhudia mawaziri hao wakitoa matamko na maelekezo kwa watendaji wa serikali, taasisi pamoja na idara zilizo chini ya wizara zao.

https://p.dw.com/p/1HUkG
Magufuli Cabinet Minister Magufuli ernennt Minister Karikatur Said Michael
Picha: Said Michael

DW ilitaka kufahamu kwa undani zaidi utendaji wa kasi hiyo ya mawaziri, ambapo Mratibu Mipango wa Wakfu wa Konrad Adenauer nchini Tanzania, Richard Shaba anaeleza maoni yake katika mahojiano yafuatayo na Grace Kabogo.

Sikiliza mahojiano hapo chini