1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, mataifa ya Magharibi yanaweza kuchukua hatua gani zaidi dhidi ya Urusi?

4 Januari 2024

Wakati uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ukikaribia kutimiza miaka miwili, mataifa ya magharibi yamekuwa yakitatizika juu ya mbinu gani wazitumie ili kukabiliana na Moscow. Marekani na washirika wake wa Magharibi wamekuwa wakizidisha vikwazo dhidi ya Urusi lakini vimeonekana kutofikia jumla ya malengo yake. Ungana na Bakari Ubena katika kipindi hiki cha Mwangaza wa Ulaya kufahamu turufu zilizosalia.

https://p.dw.com/p/4aqid