Jean Pierre Bemba asafiri kwenda Ureno kwa matibabu
11 Aprili 2007Matangazo
Bemba aliondoka mjini Kinshasa chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa umoja wa mataifa waliomsindikiza hadi kwenye uwanja wa ndege.Kwa wakati huohuo waziri wa Ubelgiji wa mambo ya nje amewasili nchini humu kwa ziara ya siku mbili.
Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo anaripoti kamili kutoka Kinshasa.