1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jee Zanzibar ni dola ?

Salma Said8 Julai 2008

Mjadala katika Baraza la wawakilishi kama Zanzibar ni dola.

https://p.dw.com/p/EYdo
Rais Aman Abeid Karume wa ZanzibarPicha: AP Photo


Mjadala mkubwa uliibuka jana katika kikao cha Baraza la Wawakilishi la Zanzibar baada ya wajumbe wa baraza hilo kuhoji inakuwaje baadhi ya watu kuanza kuchezea suala la Zanzibar kuwa sio nchi, hali inayotishia mustakbali mbaya katika muungano wa Zanzibar na Tanganyika ambao umedumu kwa miaka 44 sasa.

Salma Said ametutumia ripoti ifuatayo kutoka Zanzibar...