1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Juhudi zinazofanywa na shirika la Senegalese Dream

Bruce Amani/Stefan Möhl3 Julai 2015

Fanta Diallo ni muasisi wa shirika la Senegalese Dream – yaani Ndoto ya Senegal, ili kujaribu kuwashawishi vijana wa Kiafrika wanaotarajia kupata kazi Ulaya kuichagua Senegal. Yeye ni mwanaharakati wa kijamii anayeamini kuwa nchi yake ya Senegal ina mustakabali bora.

https://p.dw.com/p/1FsCi