1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jukumu la kuzuia unyanyasaji wa kijinsia ni la wote

30 Novemba 2012

Katika Maoni kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW, Saumu Mwasimba, anaongoza mjadala kuhusu unyanyasaji wa kijinsia barani Afrika na dhima ya taasisi za kiserikali na kijamii katika kupambana nao.

https://p.dw.com/p/16t9B
Mwanamke na maendeleo duni Afrika.
Mwanamke na maendeleo duni Afrika.Picha: Fatoumata Diabate/Oxfam

Bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini kusikiliza Maoni.

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman