1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kabila aitembelea Congo Brazzaville

4 Juni 2007

Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na mwenziye Dennis Sassounguesso wa congo Brazzaville wamehakikisha nia yao ya kurejesha amani na kuboresha uhusiano kati ya DRC na Kongo Brazzaville.

https://p.dw.com/p/CHDF
Joseph Kabila
Joseph KabilaPicha: AP Photo

Rais Joseph Kabila amewataka wanamgambo wote walioko mashariki mwa nchi yake watue chini silaha na ameahidi kurejesha amani na usalama kabla ya mwaka huu kumalizika. Aliyasema hayo wakati waziara yake ya siku mbili mjini Brazzaville.