1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kabul: Inadaiwa Helikopa ya Kimarenai imedenguliwa huko Afghanistan

18 Februari 2007
https://p.dw.com/p/CCQx

Jeshi la Muungano linaloongozwa na Marekani huko Afghanistan limesema moja ya helikopta zake imeanguka kusini mashariki ya nchi hiyo. Katika taarifa, jeshi la Marekani lilisema wanajeshi wanane waliuwawa na 14 walijeruhiwa katika ajali hiyo, baada ya rubani kuripoti kwamba injini ya helikopta hiyo ilikuwa ina matatizo. Wapiganaji wa Taliban wanadai wameidungua helikopta hiyo kwa kutumia roketi.