Kamata kamata ya Garissa, Kenya
23 Aprili 2013Matangazo
Hata hivyo kumekuwepo shutuma kutoka miongoni mwa wakazi, kwamba polisi wanatumia nguvu za ziada, na wanawatia mbaroni hata wasiohusika. Daniel Gakuba amezungumza na mwandishi wa habari aliyeko mjini Garissa, Abdulsalaam Athman. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikiliza masikioni hapo chini.
Mwandishi: Daniel Gakuba