1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya: Ghasia zaibuka mjini Mombasa

3 Februari 2014

Zaidi ya washukiwa 100 wanatazamiwa kufikishwa mahakamani leo Mombasa kufuatia ghasia za umwagikaji wa damu zilizokumba sehemu za mji huo jana jioni huku Polisi ikiwa bado inasita kutoa idadi kamili ya watu waliouawa.

https://p.dw.com/p/1B1nk
Ghasia zilizoibuka mjini Mombasa
Ghasia zilizoibuka mjini MombasaPicha: Getty Images/AFP

Watu watatu akiwemo afisa mmoja wa Polisi yahofiwa waliuwawa wakati wa ghasia hizo zilizozuka baada ya Polisi kuuvamia Msikiti mmoja na kuvunja kongamano la wafuasi wa dini ya Kiislamu,kwa madai kwamba kongamano hilo lililenga kuendeleza harakati za kundi la Alshabab.

Kutoka mjini Mombasa mwandishi wetu Eric Ponda ametukusanyia taarifa ifuatayo kuhusu hali ilivyo sasa. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Eric Ponda

Mhariri:Mohammed AbdulRahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi