Kenya: Musalia Mudavadi atakiwa ajiuzulu kutoka wadhifa wa Naibu Waziri Mkuu
3 Mei 2012Matangazo
Mudavadi alitangaza jana kujiunga na chama kipya cha UDF na wabunge wa ODM wamemtaka ajiuzulu pia wadhifa wa Naibu waziri mkuu wakisema ni chama cha ODM kilichompa nafasi hiyo.
Mwandishi wetu wa mjini Nairobi Alfred Kiti ana ripoti kamili
Kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni
Mwandishi: Alfred Kiti
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman