1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya yaanza zoezi la kura za mchujo

Sylvia Mwehozi
21 Aprili 2017

Kundi la magaidi la Dola la Kiislamu ladai kuhusika na shambulio la mjini Paris Ufaransa. Hali bado ni tete huko Venezuela, maandamano yakipamba moto. Na Kenya yaanza zoezi la kura za mchujo ndani ya vyama. Papo kwa Papo 21.04.2017.

https://p.dw.com/p/2bh1E