1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya: Ziara ya Obama Afrika

24 Juni 2013

Rais wa Marekani Barack Obama anaanza ziara yake ya pili barani Afrika wiki hii katika nchi tatu,Senegal,Afrika Kusini na Tanzania.

https://p.dw.com/p/18uwi
Rais Barack Obama na Mkewe Michelle
Rais Barack Obama na Mkewe MichellePicha: Getty Images

Kwa mara nyingine tena Obama ambaye babake ni mzaliwa wa Kenya hataizuru nchi hiyo na badala yake amechagua nchi jirani ya Tanzania,suala hili limezua mjadala mkali nchini Kenya hasa ikizingatiwa naye Rais Uhuru Kenyatta wiki hii pia anaanza ziara barani Asia na kuzua hoja ya je ni wakati wa Kenya kuelekeza macho yake Mashariki. Caro Robi amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Kenya Herman Manyora na kwanza alimuuliza nini mtazamo wake kuhusiana na suala hili? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Interview: Caro/Manyora

Mhariri: Yusuf Saumu