Asili na mazingiraKilimo kweli uti wa mgongo Tanzania?To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAsili na mazingiraAnuary Mkama18.10.201718 Oktoba 2017Wanasiasa wa Tanzania kila wakati wanasisitiza kwamba kilimo ni nguzo ya muhimu zaidi kwa uchumi wa nchi. Hata Rais Magufuli ameahidi kuwasaidia zaidi wakulima. Lakini je, sekta hiyo kweli inapewa kipaumbele kinachostahili? https://p.dw.com/p/2m4OvMatangazo