1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kipindi cha Maoni: Yaliyoisibu dunia mwaka 2022

Khelef Mohammed30 Desemba 2022

Kwenye kipindi cha Maoni tunaangazia baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari ulimwenguni, ikiwa ni Pamoja na vita vya Ukraine, kombe la Dunia, vifo vya watu mashuhuri akiwemo Malkia Elizabeth na vilevile serikali mpya nchini Kenya. Nahodha wa kipindi kwa leo ni Mohamed Khelef.

https://p.dw.com/p/4LZ7Q