1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kliniki ya kuhamahama Lesotho

John Juma
3 Agosti 2017

Katika vijiji vya Lesotho, ni nadra sana kwa wakaazi kupata huduma za afya. Daktari mmoja na timu yake wanaotumia kliniki ya kuhamahama husafiri umbali mrefu mara kwa mara kuwafikia wakaazi kuwapa huduma za afya na pia kuwaelimisha kuhusu maradhi kama ya virusi vya Ukimwi.

https://p.dw.com/p/2hdzT