1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kombe la FIFA la Dunia 2018

Kombe la 21 la FIFA la Dunia litafanyika nchini Urusi kuanzia Juni 14 hadi Julai 15, 2018. Limepangiwa kushindaniwa nchini Urusi, baada ya taifa hilo kushinda zabuni ya kuliandaa Desemba 2, 2010.