1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongamano la viongozi wa kidini lafanyika nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

16 Mei 2012

Viongozi wa kidini nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamekutana jijini Kinshasa ilikutathmini utekelezwaji wa maadili bora kwa viongozi na raia wa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/14wHi
Mji wa Kinshasa,DRC kunakofanyika kongamano la kidini
Mji wa Kinshasa,DRC kunakofanyika kongamano la kidiniPicha: Creative Commons/Moyogo

Makasisi,wachungaji na ma Imam wamehisi kwamba jamii ya Kongo imeharibika kabisa toka nchi hiyo kupata uhuru,kutokana na rushwa na kutokuweko na uzalendo. Kwa wakati huohuo machifu wa jadi wamepanga kukutana ili kujadili ukosefu wa usalama mashariki mwa Kongo.

Taarifa kamili namwandishi wetu Saleh Mwanamilongo:

(Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Saleh Mwanamilongo

Mhariri: Othman Miraji