1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kurunzi Live: Maoni ya Wananchi juu ya Muungano

Veronica Natalis
23 Aprili 2024

Wakati Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukikaribia kutimiza miaka 60, Watanzania wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na muungano huo. Je wanahisi kama bado una umuhimu kwao ama la? Tizama video hii kwa mengi zaidi, kisha utupe maoni yako.

https://p.dw.com/p/4f6Da