1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuzama kwa Jahazi nchini Tanzania

1 Februari 2007

Nchini Tanzania kumetokea mkasa wa kuzama jahazi lililokuwa lilizidisha uzito kupita uwezo wake na pengine huenda kuwa hicho ndicho hasa chanzo cha ajali hiyo.

https://p.dw.com/p/CHKz
Katika kupata ufahamu zaidi juu ya mkasa huo tulipata fursa ya kuzungumza na Kamishna wa polisi wa kisiwani Zanzibar Khalid Mwizani ambaye alikuwa na haya ya kusema.