1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwa nini Afrika ishindwe wengine walipoweza?

24 Juni 2011

Licha ya Afrika kuwa na changamoto nyingi, kiini chake hasa kinatajwa kuwa ni ukosefu wa utawala bora, ambao unasababisha matatizo mengine kuibuka juu yake kama vile ufisadi, umasikini na uvunjaji wa haki za binaadamu.

https://p.dw.com/p/RVeo
Ramani ya bara la Afrika
Ramani ya bara la AfrikaPicha: DW

Hawra Shamte anauangalia Ushirika Mpya wa Mataifa ya Afrika kwa Maendeleo (NEPAD) na namna ambavyo nchi wanachama zimeweza au zimeshindwa kuutumia ushirika huo kama kichocheo cha kulikwamua bara la Afrika.

Mtayarishaji/Msimulizi: Hawra Shamte
Mhariri: Othman Miraji