1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandalizi ya Taifa Stars kabla ya AFCON 2024

3 Januari 2024

Kwa mara ya tatu Tanzania inashiriki michuano ya afrika AFCON tangu kuanzishwa kwa michuano hiyo ya Afrika. Tayari kikosi kinachotarajiwa kucheza mashindano hayo kimeshawekwa hadharani, Watanzania wanamitizamo tofauti kuhusu maandalizi ya kikosi hicho. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/4aq49