1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madaktari Kenya wanusurika kutupwa jela

3 Februari 2017

Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu na Shirikisho la Vyama vya Wafanyikazi Kenya imeingilia kati kusuluhisha mgogoro kati ya serikali na Chama cha Madaktari juu ya mgomo wa madaktari.

https://p.dw.com/p/2Wwl6
Madaktari wanaogoma Kenya
Picha: Reuters/T. Mukoya

J2: 03:02:2017 Kenya Striking Doctors given more time - MP3-Stereo

Viongozi wa chama cha madaktari wameepuka tena kifungo cha mwezi mmoja baada ya hukumu yao kuahirishwa mara ya tatu kwa muda wa siku saba kuruhusu mazungumzo kufanyika. Mgomo wa madaktari umeendelea kwa miezi miwili sasa.