Madaktari warejea kazini Tanzania
10 Februari 2012Matangazo
Baada ya kumalizika kwa mgomo wa zaidi ya wiki mbili wa madaktari nchini Tanzania, mwenyekiti wa Kamati ya kushughulikia kero za madaktari nchini humo, daktari Stephen Ulimboka, amesema pamoja na wao kurejea makazini, serikali isilale usingizi katika kushughulikia kero ambazo imeahidi itazitatua.
Sikiliza mahojiano hayo katika kwa kubonyeza alama ya spika ya masikioni
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Miraji Othman