Mahojiano na Kiongozi wa upinzani Azarias Ruberwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo
18 Aprili 2007Matangazo
Ruberwa aliyasema hayo katika mahojiano na mwandishi wetu mjini Kinshasa, Saleh Mwanamilongo kuhusu hali ya kisiasa nchini humo ambapo alionya pia kuwa hatua yoyote ya kumtia nguvuni Kiongozi wa chama cha MLC Jean Pierre Bemba inaweza kuathiri mno mwenendo wa demokrasia nchini Kongo. Lakini kwanza akifafanua juu ya kuwa tayari kuwapokonya silaha wanamgambo wake, kiongozi huyo wa upinzani alisema: