Utamaduni
Makumbusho ya Olduvai Ngorongoro
4 Oktoba 2017
Matangazo
Serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya imekamilisha ujenzi wa Makumbusho mapya ya Olduvai ambayo yanaonesha Chimbuko la Binadamu (The Cradle of Humankind) katika Bara la Afrika. Zaidi mwandishi Charles Ngereza anaelezea.