1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maporomoko yaua Zaidi ya 30

26 Desemba 2007

---

https://p.dw.com/p/CgNe

TAWANGMANGU

Si chini ya watu 33 wamefariki na wengine 41 hawajulikani waliko kufuatia maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa katika kisiwa cha Java nchini Indonesia.

Maporomoko hayo ya matope yametokea leo hii katika maeneo ya Karanganyar na Wonogiri baada ya kunyesha mvua kubwa iliyochukua muda wa saa 12.