1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani yasitisha misaada kwa Wizara ya Afya Kenya

10 Mei 2017

Ufadhili wa dola milioni 21 umesimamishwa kwa sababu ya kukithiri kwa ufisadi katika wizara hiyo. Kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameitaka serikali kujitokeza na kuwaleza Wakenya kinachoendelea.

https://p.dw.com/p/2cjWg
Hospitali ya Kenyatta Nairobi, Kenya
Picha: Getty Images/AFP/S. Maina

J2 10.05 Kenya: US Government cut 1.2B funding to the ministry of Health - MP3-Stereo