1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Martin Luther King Jr.

Martin Luther King Jr. alikuwa Mwinjilisti wa Kimarekani na mwanaharakati aliegeuka msemaji mwenye sauti kubwa zaidi na kiongozi wa vuguvugu la haki za kiraia kuanzia 1954 hadi 1968.