Miongoni mwa yaliyomo kwenye uchambuzi wa habari asubuhi hii ni kuanza kwa mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto nchini Ujerumani, namna kuja juu kwa vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia barani Ulaya kunavyovifanya vyama vya kihafidhina kugeukia misamamo mikali dhidi ya wageni, na mchango wa mitandao ya kijamii katika kuwakosoa viongozi Afrika.