Recep Tayyip Erdogan ashinda kiti cha urais katika uchaguzi wa Uturuki//Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ataka nchi zijadiliane kimakundi kutatua suala la uhamiaji Ulaya//Na Mtu wa pili afariki dunia kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mlipuko wa Jumamosi Ethiopia