1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 22.10.2017

Yusra Buwayhid
22 Oktoba 2017

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ashinda uchaguzi wa leo wa Japan. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson amewataka wanamgambo wa Iran waliopo nchini Iraq waondoke. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amevuliwa ubalozi wa nia njema wa Shirika la WHO.

https://p.dw.com/p/2mK0T