1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 17.06.2018

Sylvia Mwehozi
17 Juni 2018

Tuliyo nayo mchana huu: Boti ya kwanza ya walinzi wa pwani wa Italia iliyowabeba wahamiaji yawasili Valencia. Ugiriki na Macedonia zasaini makubaliano ya kihistoria kumaliza uhasama wa muda mrefu. Na Austria yaitaka Ujerumani kutoa ufafanuzi madai mapya ya upelelezi.

https://p.dw.com/p/2ziW2