Tume ya taifa ya uchaguzi,NEC,imetoa matokeo ya uchaguzi wa Urais wa visiwa vya Komoro, na katika matokeo hayo Rais wa kisiwa cha Ngazija atakuwa Mohamed Abdulwahab na huko visiwani Moheli Rais aliyechaguliwa ni Bwana Mohamed Ali Said.
https://p.dw.com/p/CHC7
Matangazo
Na ujumbe wa Umoja wa Afrika, AU, umeondoka visiwani Komoro baada ya kufanya mazungumzo na mtawala wa kisiwa cha Nzouani, Kanali Mohammed Bakari.
Zaidi ni kutoka kwa Abdulrahman Baramia aliyoko Moroni.