1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazungumzo mapya yataleta amani Burundi?

20 Mei 2016

Mazungumzo ya siku nne ya amani ya Burundi ambayo awali yalipingwa na serikali yataanza Jumamosi mjini Arusha nchini Tanzania. Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, ni mkuu wa mazungumzo hayo.

https://p.dw.com/p/1Is0a
Wanajeshi Burundi
Picha: Getty Images/AFP/Stringer

[No title]

Sudi Mnette amezungumza na msaidizi wa Rais Mkapa, Makocha Tembele, na kwanza alitaka kujua maaandalizi ya mazungumzo hayo yakoje hadi kufikia wakati huu.