Mdahalo mwingine wa wagombea urais Kenya
25 Februari 2013Matangazo
Mjadala wa huu wa sasa utashughulikia masuala makuu ya uchumi na ardhi pamoja na mambo mengine. Kwa kutaka kufahamu zaidi Sekione Kitojo amezungumza na Mwenyekiti wa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali yanaojihusisha na ardhi (Kenya Land Alliance) Odenda Lumbumba ambaye kwanza alitaka kujua kwa nini hivi sasa suala la ardhi limepata kipaumbele zaidi. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikiliza masikioni hapo chini.
Mwandishi : Sekione Kitojo
Mhariri: Josephat Charo