1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mdahalo mwingine wa wagombea urais Kenya

Admin.WagnerD25 Februari 2013

Wakenya watakwenda kupiga kura hapo Machi 4 kumchagua kiongozi atakayeiongoza nchi hiyo. Wagombea wa kiti cha urais watafanya mjadala wa pili kujieleza juu ya yale watakayoyafanya pindi wakichaguliwa.

https://p.dw.com/p/17l9p
The eight Kenyan presidential aspirants Mohammed Dida, James Ole Kiyiapi, Uhuru Kenyatta, Peter Kenneth, Musalia Mudavadi, Martha Karua, Kenyan Prime Minister Raila Odinga and Paul Muite (L-R) face off in the first ever presidential debate at Brookhouse School in Kenya's capital Nairobi February 11, 2013. The presidential television debate - the first ever held in the country - failed to produce a clear winner, but gave an early taste of what is expected to be a highly charged contest to run East Africa's economic powerhouse. Picture taken February 11, 2013. REUTERS/Stringer (KENYA - Tags: ELECTIONS POLITICS)
Kenia Präsidentschaftswahl Kandidaten DebattePicha: Reuters

Mjadala wa huu wa sasa utashughulikia masuala makuu ya uchumi na ardhi pamoja na mambo mengine. Kwa kutaka kufahamu zaidi Sekione Kitojo amezungumza na Mwenyekiti wa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali yanaojihusisha na ardhi (Kenya Land Alliance) Odenda Lumbumba ambaye kwanza alitaka kujua kwa nini hivi sasa suala la ardhi limepata kipaumbele zaidi. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikiliza masikioni hapo chini.

Mwandishi : Sekione Kitojo
Mhariri: Josephat Charo