1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mesut Özil

Kiungo huyo mzaliwa wa Gelsenkirchen alianza kuichezea klabu ya Bundesliga ya Schalke mwaka 2006 akiwa na umri wa miaka 18. Baadae alihamia Werda Bremen kabla ya kwenda Real Madrid kabla ya kutua Arsenal ya Uingereza.