1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania

24 Januari 2012

Nchini Tanzania wakati madaktari na wafanyakazi wa sekta ya umma wakianzisha mgomo jumla ya utoaji huduma katika hospitali na vituo vya afya imeanza kuzorota kutokana na madaktari kutofika kwenye vituo vya kazi.

https://p.dw.com/p/13oop
Eine Ärztin gibt in einem Krankenhaus in Moshi (Tansania) Arzneimittel aus (Handoutfoto vom 08.02.2006). Das Projekt wird vom Difäm in Tübingen betreut. Seit 50 Jahren kämpft das Deutsche Institut für ärztliche Mission Difäm gegen den Medikamenten-Mangel in vielen Entwicklungsländern an. Foto: Difäm dpa/lsw (zu dpa lsw-Korr: "Das Difäm organisiert Medikamente für die Ärmsten" vom 05.05.2009) +++(c) dpa - Bildfunk+++
Daktari akitoa huduma kwa mgonjwaPicha: Picture-Alliance/dpa

Mwenzetu George Njogopa kutoka Dar e salaam amekuwa akifuatilia kwa karibu vute nikuvute hiyo kati ya serikali na madaktari hao.

Ripoti: George Njogopa

Mhariri: Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi