Mgomo wa walimu nchini Kenya waingia siku ya pili
4 Septemba 2012Matangazo
Aboubakary Liongo amezungumza na mwandishi wetu Eric Ponda akiwa Mombasa kutaka kujua hali mgomo katika eneo hilo la pwani.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi:Aboubakary Liongo
Mhariri:Othman Miraji